Wyclef Jean

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wyclef Jean
Remove ads

Nelust Wyclef Jean (amezaliwa 17 Oktoba 1972) ni mwanamuziki, mwigizaji, mtayarishaji wa Kihaiti-Kimarekani. Pia anafahamika kwa kuwa kama mwanachama wa kundi la muziki wa hip hop la The Fugees.

Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Jina la kuzaliwa ...
Remove ads

Wasifu

Jean alizaliwa kama Nelust Wyclef Jean, mjini Croix-des-Bouquets, Haiti, alipewa jina la Wyclef Jean na baba yake mlezi, mchungaji aliyebadilisha jina lake baada ya kuitwa John Wycliffe[1]. Alihama yeye na familia yake na kuelekea zao mjini Brooklyn, New York akiwa na umri wa miaka tisa, na kisha baadaye kuelekea zao New Jersey.

Muziki

Makala kuu: Albamu za Wyclef Jean
  • The Carnival (akiwa na Pras na Lauryn Hill) (Columbia, 1997)
  • The Ecleftic: 2 Sides II a Book (Columbia, 2000)
  • Masquerade (Columbia, 2002)
  • Greatest Hits (Columbia, 2003)
  • The Preacher's Son (J, 2003)
  • Welcome to Haiti: Creole 101 (Koch, 2004)
  • Carnival Vol. II: Memoirs of an Immigrant (Columbia, 2007)

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads