Yohane Stone

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yohane Stone
Remove ads

Yohane Stone (aliuawa Canterbury, Uingereza, 1539) alikuwa padri wa shirika la Waaugustino aliyeshikilia imani sahihi na kupinga uamuzi wa mfalme Henri VIII wa kutenga wananchi wake na Kanisa Katoliki hadi akanyongwa na kuchanwachanwa chini ya sheria[1][2].

Thumb
Sanamu yake.

Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970 alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 39.

Sikukuu yake ni tarehe 23 Desemba[3] lakini pia 12 Mei na 25 Oktoba.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads