Yusuph Mlela
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yusuph Godfrey Mlela (amezaliwa 11 Oktoba 1986) ni mwigizaji wa filamu, mtunzi wa filamu na mwanamitindo kutoka nchini Tanzania. Mlela ni miongoni mwa waigizaji waliokuwa wachanga na kuja juu haraka sana. Filamu yake kwanza ilikuwa "Diversion of Love" (2006), Family Curse (2014), I Know You (2014), Shaymaa (2013), Nesi Selena (2013), Samira, Chumo na Poor Minds (2013).
Remove ads
Kazi na maisha
Mlela alipata elimu yake ya msingi katika shule ya Kumbukumbu ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, halafu akajiunga na sekondari ya Kawawa iliyoko Mafinga mkoa wa Iringa, akiwa huko alisoma hadi kidato cha nne. Baadaye akaja kujiendeleza na masuala ya Kompyuta. Kikundi chake cha kwanza kujiunga kuhusu sanaa kinaitwa Tanganyika, kabla ya kwenda kujishuhulisha na masuala ya mitindo.
Baadhi ya filamu zake
- Family Curse
- I Know You
- Shaymaa
- Nesi Selena
- Samira
- Poor Minds
- Nifute Machozi
- Hit Back
- The Identical
- Chocolate
- Lost
- Red Cross
- Angel
- Red Mzula
- Lonely Heart
- Talaka Yangu
- Promoter
- Toughlife
- Diversion of Love
- Rubi
- The Taxi Driver in Love
- Continuos Love
- Payback
- War Against Men
- War Against Women
- Chumo
- Pete ya Ajabu
- The Romantic
- The Avenger
- Sound of Death
- Best Man
- Mtumwa
- Love is War
- Time Goes Around
- Black Sunday
- Secretary
- Money Desire
- Last Minutes
- Its Too Late
- Divorce
- April Fools
- Why Did I Love
- Miracle Love
- Happy Couples
- Round
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads