Zipora

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zipora
Remove ads

Zipora (kwa Kiebrania צִפוֹרָה, Tsippora au Ṣippôrā, yaani ndege; kwa Kigiriki Σεπφώρα, Sepphōra; kwa Kiarabu صفورة, Ṣaffūrah) anatajwa katika kitabu cha Kutoka kama mke wa Mose, na binti Yetro, kuhani wa Midiani.[1][2][3][4][5]

Thumb
Sehemu ya Mose akihama Misri, mchoro wa Pietro Perugino, 1482 hivi. Zipora amevaa nguo ya rangi ya buluu.

Alimzalia Mose watoto wawili wa kiume: Gershom na Eliezer.

Kitabu cha kwanza cha Mambo ya Nyakati [6] kinataja wajukuu wake wawili: Shebueli, mwana wa Gershom, na Rehabia, mwana wa Eliezer.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads