Kaunti ya Lamu ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Ukweli wa haraka Nchi, Namba ...
Kaunti ya Lamu
Kaunti
Thumb
Kisiwa cha Lamu
Lamu County in Kenya.svgThumb
Kaunti ya Lamu katika Kenya
Nchi Kenya
Namba5
IlianzishwaTarehe 4 Machi, 2013
Ilitanguliwa naMkoa wa Pwani
Makao MakuuLamu
Miji mingineMkomani, Hindi, Hongwe, Bahari, Witu, Faza, Kiunga, Basuba
GavanaFahim Yasin Twaha
Naibu wa GavanaAbdulhakim Aboud Bwana
SenetaAnwar Loitiptip
Mbunge Mwanamke(Bunge la Taifa)Ruweida Mohamed Obo
Bunge la KauntiBunge la Kaunti ya Lamu
Eneokm2 6 273.1 (sq mi 2 422.1)
Idadi ya watu143,920[1].
Wiani wa idadi ya watu23
Kanda mudaSaa za Afrika Mashariki (UTC+3)
Tovutilamu.go.ke
Funga

Kaunti ya Lamu ni mojawapo ya kaunti za pwani. Inapakana na Kaunti za Garissa na Tana River. Pia inapakana na Jamuhuri ya Shirikisho la Somalia na Bahari Hindi.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 893,681 katika eneo la km2 6,253.3, msongamano ukiwa hivyo wa watu 23 kwa kilometa mraba[2]..

Makao makuu yako katika Lamu.

Utawala

Imegawanyika katika maeneo bunge mawili[3]:

Maelezo zaidi Eneo Bunge, Kata ...
Funga

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [4]

  • Lamu East 22,258
  • Lamu West 121,662

Tazama pia

Tanbihi

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.