Abrahamu wa Clermont
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Abrahamu wa Clermont (Syria, mwishoni mwa karne ya 4 - Auvergne, Ufaransa, 477 hivi) alikuwa mmonaki mwenye asili ya Uajemi. Kutokana na dhuluma ya Wasasani, akiwa bado shemasi, alielekea Misri ili kujifunza ukaapweke lakini mpakani alikamatwa akakaa kifungoni miaka mitano.
Dhuluma iliposimama, alifungulia akaelekea Ulaya magharibi na kuishia Ufaransa alipofanywa padri na abati wa monasteri[1][2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads