Abrahamu wa Clermont

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Abrahamu wa Clermont (Syria, mwishoni mwa karne ya 4 - Auvergne, Ufaransa, 477 hivi) alikuwa mmonaki mwenye asili ya Uajemi. Kutokana na dhuluma ya Wasasani, akiwa bado shemasi, alielekea Misri ili kujifunza ukaapweke lakini mpakani alikamatwa akakaa kifungoni miaka mitano.

Dhuluma iliposimama, alifungulia akaelekea Ulaya magharibi na kuishia Ufaransa alipofanywa padri na abati wa monasteri[1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni [4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads