Adhuhuri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Adhuhuri
Remove ads

Adhuhuri (kutoka Kiarabu الظهر) ni kipindi cha mchana ambapo jua liko juu zaidi, baina ya asubuhi na alasiri.

Thumb
Mandhari wakati wa adhuhuri.
Thumb
Saa mnarani inayoonyesha adhuhuri.

Adhuhuri ni kipindi kati ya saa sita na saa nane za mchana[1].

Kinyume chake ni usiku kati.

Kwa kawaida binadamu anatumia nafasi hiyo kupumzika kidogo na kupata chakula kabla hajaendelea na kazi.

Vivyo hivyo, dini mbalimbali, hasa Ukristo na Uislamu, zinamuelekeza kumkumbuka zaidi Mungu kwa kusali kidogo.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads