Adolfo wa Arras

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Adolfo wa Arras (pia: Hadulfus; Arras, Pas-de-Calais, karne ya 719 Mei 728) alikuwa askofu wa 9 au 10[1] wa mji huo (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 717 baada ya kuwa abati wa monasteri katika mji huohuo. [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Mei[3].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads