Adolfo wa Arras
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Adolfo wa Arras (pia: Hadulfus; Arras, Pas-de-Calais, karne ya 7 – 19 Mei 728) alikuwa askofu wa 9 au 10[1] wa mji huo (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 717 baada ya kuwa abati wa monasteri katika mji huohuo. [2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads