Agrikola wa Avignon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Agrikola wa Avignon (pia: Agricol, Agricola, Agricolus; 630 hivi - 700 hivi) alikuwa askofu wa 11 wa Avignon, Provence (leo nchini Ufaransa) tangu mwaka 660 hadi kifo chake.
Kisha kuishi kama mmonaki huko Lerins tangu umri wa miaka 16 hadi 30, alikwenda kumsaidia baba yake, Magnus, askofu wa Avignon, akawa mwandamizi wake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Septemba[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads