Anselmo wa Nonantola
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Anselmo wa Nonantola (Cividale del Friuli, 723 - Nonantola, 803) alikuwa mtawala wa Friuli miaka 749-751, lakini aliacha siasa akatawa katika monasteri mbili alizozianzisha akafanywa abati wa ile karibu na mji wa Nonantola, Italia, aliyoiongoza kwa miaka 50 akihamasisha nidhamu ya kimonaki kwa maisha na mafundisho yake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads