Anselmo wa Nonantola

From Wikipedia, the free encyclopedia

Anselmo wa Nonantola
Remove ads

Anselmo wa Nonantola (Cividale del Friuli, 723 - Nonantola, 803) alikuwa mtawala wa Friuli miaka 749-751, lakini aliacha siasa akatawa katika monasteri mbili alizozianzisha akafanywa abati wa ile karibu na mji wa Nonantola, Italia, aliyoiongoza kwa miaka 50 akihamasisha nidhamu ya kimonaki kwa maisha na mafundisho yake[1].

Thumb
Mt. Anselmo akianzisha monasteri ya Nonantola.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Machi[2].

Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads