Koikoi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Koikoi
Remove ads

Koikoi ni ndege wakubwa wa jenasi Ardea katika familia ya Ardeidae wenye miguu mirefu na domo refu na nyembamba. Hupinda shingo yao wakiruka angani. Ndege hawa wana rangi nyeupe, kijivu na nyeusi. Spishi zenye rangi ya kahawiachekundu huitwa pondagundi pia. Spishi mbili nyeupe kabisa zinaitwa msuka na yangeyange. Zamani msuka ilikuwa imeainishwa ndani ya jenasi Egretta na yangeyange ndani ya jenasi Bubulcus. Kuna spishi nyingine za yangeyange ndani ya jenasi mbalimbali. Koikoi hupenda kula samaki lakini hula wanyama wadogo pia, kama vyura, mijusi, nyoka na panya. Hujenga matago yao kwa matawi juu ya miti. Jike huyataga mayai 2-6.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Spishi za kabla ya historia

  • Ardea bennuides (Bennu Heron)
  • Ardea formosa
  • Ardea howardae
  • Ardea polkensis (Mwanzo wa Pliocene ya Bone Valley, MMA)
  • Ardea similis
  • Ardea sp. (Kati ya Miocene ya Observation Quarry, MMA)
  • Ardea sp. (Mwisho wa Miocene ya Love Bone Bed , MMA)
  • Ardea sp. (Mwanzo wa Pleistocene ya Macasphalt Shell Pit, MMA)

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads