Ausani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ausani wa Milano (alifariki Milano, Italia Kaskazini, 560 hivi) alikuwa askofu wa 28 wa mji huo tangu mwaka 558 hivi hadi kifo chake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Septemba[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads