Austregesili
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Austregesili (pia: Austregisilus, Outrille, Aoustrille; 551 hivi - 11 Septemba 624 hivi) anakumbukwa kama askofu wa Bourges (Ufaransa) kuanzia mwaka 612 hadi kifo chake.

Baada ya kufanya kazi katika ikulu, alikwenda kujiunga na monasteri akawa abati hadi alipoteuliwa kuwa askofu.
Hapo alionyesha upendo wa pekee kwa maskini, mayatima, wagonjwa na waliohukumiwa kufa[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads