Botvidi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Botvidi
Remove ads

Botvidi (kwa Kiswidi: Botvid; Södermanland, Uswidi, karne ya 10 – Södermanland, 1120) alikuwa mfanyabiashara ambaye, aliposafiri hadi Uingereza kwa biashara yake, aliongokea Ukristo[1].

Thumb
Sanamu ya Mt. Botvidi.

Baadaye alitumwa na askofu Sifredi, pamoja na Daudi wa Uswidi[2] na Eskil wa Tuna[3], kama mmisionari nchini kwao akaendelea hadi alipouawa na Mfini ambaye alikuwa kwanza mtumwa na ambaye Botvidi alikuwa amemkomboa, amemfundisha dini na kumbatiza[4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 28 Julai[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads