Botvidi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Botvidi (kwa Kiswidi: Botvid; Södermanland, Uswidi, karne ya 10 – Södermanland, 1120) alikuwa mfanyabiashara ambaye, aliposafiri hadi Uingereza kwa biashara yake, aliongokea Ukristo[1].

Baadaye alitumwa na askofu Sifredi, pamoja na Daudi wa Uswidi[2] na Eskil wa Tuna[3], kama mmisionari nchini kwao akaendelea hadi alipouawa na Mfini ambaye alikuwa kwanza mtumwa na ambaye Botvidi alikuwa amemkomboa, amemfundisha dini na kumbatiza[4].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads