Colby O'Donis

From Wikipedia, the free encyclopedia

Colby O'Donis
Remove ads

Colby O'Donis Colón (amezaliwa tar. 14 Machi 1989) ni mtunzi wa nyimbo za pop, R&B, na hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Colby O'Donis.

Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Jina la kuzaliwa ...
Remove ads

Wasifu

Maisha ya awali (kwa ufupi)

Alizaliwa mjini Marble Hill sehemu ya The Bronx, New York, akiwa na asili kamili ya Kipuerto Rico na Kiguyana.[1] Wazazi wa Colby waligundua kipaji cha mtoto wao akiwa na umri wa miaka 3 pale aliposhinda shindano la watoto wenye vipaji kwa kuimba wimbo wa Michael Jackson.

Mara nyingine pia alikuwa akitumbuiza kwa kujifurahisha kila Jumamosi na Jumapili katika kiduka cha baba yake kilichopo mjini Queens.[2]

Remove ads

Shughuli za muziki

Muziki

Makala kuu: Albamu na Nyimbo za Colby O'Donis

Albamu zake

  • Colby O (2008)

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads