Cuthbert Mayne

From Wikipedia, the free encyclopedia

Cuthbert Mayne
Remove ads

Cuthbert Mayne (Youlston, 1544 Launceston, 30 Novemba 1577) alikuwa mchungaji wa Kanisa la Anglikana nchini Uingereza kabla hajajiunga na Kanisa Katoliki na kupewa daraja takatifu ya upadri.

Thumb
Padri Cuthberth Mayne.

Alifanya utume wake huko Cornwall hadi alipotangaza hati ya Papa.

Hii ilimsababisha kuuawa chini ya sheria ya malkia Elizabeth I, akiwa mfiadini wa kwanza kati ya wanafunzi wa Seminari ya Kiingereza ya Douai[1].

Mwaka 1970 alitangazwa na Papa Paulo VI kuwa mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads