Deodati wa Nevers

From Wikipedia, the free encyclopedia

Deodati wa Nevers
Remove ads

Deodati wa Nevers (pia: Dié, Didier, Dieudonné, Déodat, Adéodat; alifariki 679 hivi) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 655 hadi 664 alipokwenda kuishi upwekeni.

Thumb
Kutukuzwa kwake.

Anasemekana alianzisha pia monasteri chini ya kanuni ya Kolumbani ambayo imepewa jina lake[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads