Deodati wa Nevers
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Deodati wa Nevers (pia: Dié, Didier, Dieudonné, Déodat, Adéodat; alifariki 679 hivi) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 655 hadi 664 alipokwenda kuishi upwekeni.

Anasemekana alianzisha pia monasteri chini ya kanuni ya Kolumbani ambayo imepewa jina lake[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads