Dominiko wa Calzada

From Wikipedia, the free encyclopedia

Dominiko wa Calzada
Remove ads

Dominiko wa Calzada (jina la kuzaliwa kwa Kihispania: Domingo Garcia; Burgos, Castilia Mpya, Hispania, 1019 hivi - Santo Domingo de la Calzada, Hispania, 12 Mei 1109[1]) alikuwa padri mkaapweke aliyehudumia kwa upendo hadi kifo chake waumini walioelekea Santiago de Compostela kwa hija ambao alikuwa amewajengea madaraja, barabara na vyumba vya kulala [2].

Thumb
Sanamu yake katika kanisa kuu la mji uliotokea kando ya nyumba yake.

Kabla ya hapo alijaribu kujiunga na monasteri mbalimbali akakataliwa kwa sababu ya ulemavu wa viungo vyake na udogo wa akili yake[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 12 Mei[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads