Egidi Maria wa Mt. Yosefu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Egidi Maria wa Mt. Yosefu
Remove ads

Egidi Maria wa Mt.Yosefu (jina la awali: Francesco Antonio Domenico Pasquale Pontillo; Taranto, 16 Novemba 1729 - Napoli 7 Februari 1812) alikuwa mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo Pekupeku kutoka Italia Kusini.

Thumb
Sanamu yake iliyotengenezwa kwa karatasi iliyopondwa mwaka 1920.

Kila siku alikuwa akiombaomba kwa unyenyekevu msaada katika mitaa ya mji wa Napoli akirudisha maneno ya faraja kwa wote [1].

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu tangu alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II mwaka 1996. Kabla ya hapo alitangazwa mwenye heri na Papa Leo XIII mwaka 1888.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads