Ekembodo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ekembodo
Remove ads

Ekembodo (alifariki Therouanne, Ufaransa wa leo, 742) alikuwa mmonaki, labda kutoka Ireland, aliyejiunga na monasteri ya Sithiu chini ya Bertino wa Sithieu akawa abati wake miaka 10 baadaye. Halafu alichaguliwa kuwa askofu wa Therouanne huo akaongoza jimbo hilo pana kwa miaka 26 bila kuacha uabati[1].

Thumb
Sanamu yake katika kanisa kuu la Saint-Omer.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Aprili[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads