Erik IX

From Wikipedia, the free encyclopedia

Erik IX
Remove ads

Erik IX (kwa Kiswidi: Erik Jedvardsson; Erik den helige; Sankt Erik; 1120-1125 hivi - Uppsala, Uswidi, 18 Mei 1160) alikuwa mfalme wa Uswidi kuanzia mwaka 1156 hivi hadi kifo chake[1]. Ndiye wa kwanza katika ukoo wake wa kifalme uliotawala hadi mwaka 1250.

Thumb
Mt. Erick IX.

Aliongoza kwa busara na kutetea haki za wanawake.

Alijitahidi pia kuinjilisha Ufini, ambao wakazi wake walikuwa bado Wapagani, kwa kumtuma huko askofu Erik wa Ufini [2][3].

Hatimaye aliuawa akiwa anashiriki Misa[4][5].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Walutheri[6] kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[7].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads