Erkonvaldi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Erkonvaldi (kwa Kiingereza: Earconwald, Ercenwald, Erkenwald; Lindsey[1], karne ya 7 - monasteri ya Barking, 30 Aprili 693) alikuwa askofu wa London, Uingereza, kuanzia mwaka 675[2] akawa mwanzilishi wa monasteri mbili za Kibenedikto[3][1][4]. Ile ya kike iliongozwa na dada yake, Etelburga wa Barking, ila ya kiume iliongozwa naye mwenyewe[5].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki na Waanglikana tarehe ya kifo chake[6].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads