Eustoji II

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eustoji II
Remove ads

Eustoji II (alifariki 518 hivi) alikuwa Askofu wa mji huo, Italia Kaskazini kuanzia 512 hadi kifo chake.

Thumb
Mt. Eustoji II katika kanisa kuu la Milano.

Aking’aa kwa moyo wa ibada, haki na juhudi za kichungaji, alijenga batizio maarufu.[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads