Fantino Mzee

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Fantino Mzee (Palmi, Calabria, 293 - Palmi, 336) alikuwa Mkristo wa Italia Kusini maarufu kwa miujiza yake [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, wa kwanza kutoka mkoa wake.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads