Faro

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Faro (pia: Faron au Burgundofaro; 596 - 670 hivi) alikuwa askofu wa Meaux nchini Ufaransa kwa walau miaka 30 akilikirimu Kanisa mali nyingi, na kuanzisha parokia na kutegemeza monasteri mbalimbali.[1].

Kabla ya hapo alikuwa akifanya kazi katika ikulu ya wafalme Theodoberti II, Theodoriko na Klotari II, lakini dada yake, Fara alimfanya atamani kumtumikia Mungu kikamilifu hata akamhimiza mke wake kujiunga na utawa ili yeye aingie upadri.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni 28 Oktoba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads