Fara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Fara (Poincy, karne ya 6 - Faremoutiers, 675) alikuwa mwanzilishi na abesi wa kwanza wa monasteri wa Faremoutiers nchini Ufaransa kwa miaka 40[1].
Ndiye aliyemfanya kaka yake, Faro amhimize mke wake kujiunga na monasteri ili yeye aingie upadri.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads