Fara

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fara
Remove ads

Fara (Poincy, karne ya 6 - Faremoutiers, 675) alikuwa mwanzilishi na abesi wa kwanza wa monasteri wa Faremoutiers nchini Ufaransa kwa miaka 40[1].

Thumb
Mt. Fara katika dirisha la kioo cha rangi.

Ndiye aliyemfanya kaka yake, Faro amhimize mke wake kujiunga na monasteri ili yeye aingie upadri.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu bikira.

Sikukuu yake ni tarehe 7 Desemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads