Fransiska wa Roma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fransiska wa Roma
Remove ads

Fransiska wa Roma (kwa Kiitalia Francesca Romana; 13849 Machi 1440) alikuwa mtawa kutoka Roma, Italia.

Thumb
Mt. Fransiska na malaika mlinzi.
Thumb
Mt. Fransiska akifanya utume wake mjini Roma.

Ametambuliwa na Kanisa Katoliki chini ya Papa Paulo V kuwa mtakatifu kuanzia tarehe 29 Mei 1608.

Tarehe ya kifo chake, yaani 9 Machi ndiyo sikukuu yake[1].

Maisha

Fransiska alizaliwa katika mji wa Roma, Italia, mwaka 1384.

Aliolewa mapema mwaka 1396, akazaa watoto watatu. Katika miaka 40 ya ndoa yake alijitokeza kama mke na mama bora. Alijulikana sana kwa moyo wake wa ibada, unyenyekevu, upole, uvumilivu na kujitoa kwake mhanga kuwasaidia maskini. Aliishi nyakati ngumu, hivyo aliwapatia mali yake, na kuuguza wagonjwa.

Mwaka 1425 alianzisha Shirika la Waoblati waliofuata Kanuni ya Mt. Benedikto na baada ya kifo cha mumewe akajiunga nao. Alifariki dunia mwaka 1440.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads