Papa Paulo V

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Paulo V

Papa Paulo V (17 Septemba 155028 Januari 1621) alikuwa Papa kuanzia tarehe 16 Mei/29 Mei 1605 hadi kifo chake[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Thumb
Papa Paulo V.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Camillo Borghese.

Alimfuata Papa Leo XI akafuatwa na Papa Gregori XV.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.