Fransisko Diaz

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fransisko Diaz
Remove ads

Fransisko Diaz, O.P. (Ecija, 2 Oktoba 1713Fuzhou, 28 Oktoba 1748) alikuwa padri kutoka Hispania aliyefanya umisionari barani Asia akauawa nchini China kwa ajili ya imani yake ya Kikristo pamoja na mapadri Wadominiko wenzake Fransisko Serrano, Yohakim Royo na Yohane Alcober.[1][2]

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Alitangazwa kuwa mtakatifu pamoja na wengine 119 waliofuata kifodini chake na Papa Yohane Paulo II tarehe 1 Oktoba 2000.[3]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake, lakini pamoja na wenzake ni tarehe 9 Julai [4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads