Garissa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Garissa
Remove ads

Garissa ni mji nchini Kenya ulio makao makuu ya kaunti ya Garissa. Unaunda kata ya eneo bunge la Garissa Mjini[1].

Thumb
Garissa, Kenya
Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...
Thumb
Garissa iko upande wa mashariki wa Nairobi.

Wakazi walikuwa 119,696 wakati wa sensa ya mwaka 2009[2].

Mto Tana hupitia eneo la manispaa.

Wakazi walio wengi ni raia wa Kenya walio Wasomali kwa lugha na utamaduni pamoja na raia wa Somalia waliohamia hapa kutokana na hali ya vita nchini mwao. Kundi kubwa la wenyeji ni wa ukoo wa Waogaden.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads