Wasomali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wasomali ni kabila kubwa la watu wa jamii ya Wakushi wanaoishi katika eneo linaoitwa Pembe ya Afrika ambalo ni eneo linalopakana na Bahari ya Hindi na kugawanyika kati ya nchi asili nne: Somalia, Kenya, Ethiopia na Jibuti.
Remove ads

Idadi ya Wasomali walioko Somalia ni kama milioni 15, Ethiopia milioni 8.5, Kenya ni karibu milioni 2.5 au 3 [1] na Jibuti zaidi ya nusu milioni. Walioko nje ya eneo asili pia ni wengi, hasa huko Yemen. Jumla yao ni milioni 28-30.
Lugha yao ni Kisomali, mojawapo kati ya lugha za Kikushi.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads