Wasomali

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wasomali
Remove ads

Wasomali ni kabila kubwa la watu wa jamii ya Wakushi wanaoishi katika eneo linaoitwa Pembe ya Afrika ambalo ni eneo linalopakana na Bahari ya Hindi na kugawanyika kati ya nchi asili nne: Somalia, Kenya, Ethiopia na Jibuti.

Ukweli wa haraka Maeneo penye idadi kubwa kiasi, Lugha ...
Remove ads
Thumb
Ramani ya koo.

Idadi ya Wasomali walioko Somalia ni kama milioni 15, Ethiopia milioni 8.5, Kenya ni karibu milioni 2.5 au 3 [1] na Jibuti zaidi ya nusu milioni. Walioko nje ya eneo asili pia ni wengi, hasa huko Yemen. Jumla yao ni milioni 28-30.

Lugha yao ni Kisomali, mojawapo kati ya lugha za Kikushi.

Dini yao ni Uislamu.

Remove ads

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads