Gemma Galgani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gemma Galgani
Remove ads

Gemma Galgani ni jina fupi la Maria Gemma Umberta Pia Galgani (Borgo Nuovo, Camigliano, 12 Machi 1878 - Lucca 11 Aprili 1903), msichana mlei wa Italia aliyejitokeza kama Mkristo bora mwenye karama za pekee.[1] Ameitwa Binti wa Mateso kwa jinsi alivyoshiriki yale ya Yesu kwa kuyazamia na kwa kustahimili maumivu yake mwenyewe katika ubikira kamili.[2][3]

Thumb
Mt. Gemma, ua la Lucca.
Thumb
Gemma Galgani alipokuwa na umri wa miaka 7 (kulia).

Papa Pius XII alimtangaza mwenye heri tarehe 14 Mei 1933 halafu mtakatifu tarehe 2 Mei 1940.

Sikukuu yake ni tarehe 11 Aprili[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads