Gilda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gilda
Remove ads

Gilda (kwa Kibretoni: Gweltaz; Britania Kusini, karne ya 5 - Houat, Bretagne, leo nchini Ufaransa, 570 hivi) alikuwa mmonaki nchini kwake, halafu padri mmisionari katika sehemu mbalimbali za visiwa vya Britania na huko Bretagne alipoanzisha monasteri [1].

Thumb
Sanamu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads