Ngagi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Remove ads
Ngagi ni wanyama wakubwa wa jenasi Gorilla katika familia Hominidae. Ngagi wanaishi katika maeneo ya tropiki ya Afrika.
Remove ads
Spishi
- Gorilla beringei, Ngagi Mashariki au Gorila Mashariki (Eastern Gorilla)
- Gorilla b. beringei, Ngagi-milima (Mountain Gorilla: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda na Uganda)
- Gorilla b. graueri, Ngagi wa Uwanda wa Chini Mashariki (Eastern Lowland Gorilla: Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
- Gorilla gorilla, Ngagi Magharibi au Gorila Magharibi (Western Gorilla)
- Gorilla g. diehli, Ngagi wa Nijeria (Cross River Gorilla: Nijeria na Kameruni)
- Gorilla g. gorilla, Ngagi wa Uwanda wa Chini Magharibi (Western Lowland Gorilla: Kameruni, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Gaboni, Ginekweta, Jamhuri ya Kongo, Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo na Angola)
Remove ads
Picha
- Ngagi-milima (dume)
- Ngagi wa Uwanda wa Chini Mashariki (dume)
- Ngagi wa Nijeria
- Ngagi wa Uwanda wa Chini Magharibi (dume mzee)
- Ngagi wa kike akivuka maji na kutumia fimbo kujishika
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads