Masokwe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Masokwe
Remove ads
Remove ads

Masokwe (wingi wa sokwe) ni wanyama wa familia ya juu Hominoidea.

Maelezo zaidi Sokwe, Uainishaji wa kisayansi ...

Kuna familia mbili za masokwe: Hylobatidae (masokwe wadogo au giboni) na Hominidae (masokwe wakubwa wakiwemo binadamu).

Masokwe wadogo huishi daima mitini na huteremka kwa nadra. Wana mikono mirefu ili kining'inia kutoka tawi moja hadi jingine na kutoka mti mmoja hadi mwingine. Wanatokea misitu ya tropiki ya Asia.

Masokwe wakubwa hupitisha muda pengine mrefu ardhini, orangutanu muda kidogo tu na ngagi muda mrefu sana. Takriban spishi zote zinatokea Afrika lakini orangutanu wanatokea Asia ya Mashariki.

Remove ads

Uainisho

Familia ya juu Hominoidea (Masokwe)

Remove ads

Picha

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads