Gumbati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Gumbati, O.S.B. (kwa Kijerumani: Guntbert, Kunibert; alifariki Ansbach, leo nchini Ujerumani, 11 Machi 795) alikuwa kijana wa ukoo bora ambaye, kwa uongozi wa askofu Burkado wa Wurzburg, mwaka 748 hivi alitawa na kuanzisha monasteri aliyoiongoza kama abati hadi kifo chake [1].

Tangu kale anaheshimiwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads