Vinvaleo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Vinvaleo
Remove ads

Vinvaleo (pia: Gwenole; Guénolé; Winwaloe, Winwallus; Plouguin, 460 hivi - karibu na Brest, Bretagne, 532 hivi) alikuwa mmonaki anayetajwa kama mwanzilishi wa monasteri ya Landévennec nchini Ufaransa, [1].

Thumb
Panapotunzwa masalia yake.

Mwanafunzi wa Budok katika kisiwa cha Lavret, aliyapatia sifa maisha ya kimonaki.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu kama kaka zake Jakuto na Gwetnoko.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Machi[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads