Vinvaleo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Vinvaleo (pia: Gwenole; Guénolé; Winwaloe, Winwallus; Plouguin, 460 hivi - karibu na Brest, Bretagne, 532 hivi) alikuwa mmonaki anayetajwa kama mwanzilishi wa monasteri ya Landévennec nchini Ufaransa, [1].

Mwanafunzi wa Budok katika kisiwa cha Lavret, aliyapatia sifa maisha ya kimonaki.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu kama kaka zake Jakuto na Gwetnoko.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads