Aroni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Aroni
Remove ads

Aroni (au Harun; kwa Kiebrania: אַהֲרֹן, ′aharon; kwa Kiarabu: هارون, Hārūn, kwa Kigiriki: Ἀαρών, Aaron; alifariki juu ya Mlima Hor, leo nchini Yordani, karne ya 13 KK) alikuwa kaka wa Musa. Dada yao aliitwa Mariamu.

Thumb
Aroni
Thumb
Ibada kwa ndama wa dhahabu ilivyochorwa na Nicolas Poussin.

Walikuwa watoto wa Amram na wa shangazi yake Jokebed, wote wa kabila la Lawi, taifa la Israeli.

Ndiye aliyepakwa mafuta na Musa kuwa kuhani mkuu wa kwanza wa dini yao, na makuhani wote waliofuata walitakiwa kuwa wanaume waliotokana naye kwa kuzaliwa upande wa baba[1].

Wanae waliitwa Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads