Eleazari

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eleazari
Remove ads

Eleazari (kwa Kiebrania: אֶלְעָזָר, ʼElʽazar au ʼElʽāzār; maana yake "Mungu amesaidia") alikuwa kuhani mkuu wa pili katika Biblia ya Kiebrania baada ya kifo cha baba yake Aroni[1], kaka wa Musa.

Thumb
Eleazari katika Promptuarium Iconum Insigniorum.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Septemba au 30 Julai[2].

Wengine walioitwa Eleazari katika Biblia

Wanaume wengine sita wanatajwa kwa jina hilo katika Biblia:

Jina hilo liliandikwa kwa Kigiriki "Lazaro", kama kwa rafiki wa Yesu Lazaro wa Bethania.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads