Jermano wa Paris

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jermano wa Paris
Remove ads

Jermano wa Paris (Autun, leo nchini Ufaransa, 496 hivi - Paris, 28 Mei 576) alikuwa mmonaki ambaye, baada ya kuwa abati wa monasteri karibu na Autun, alichaguliwa kuwa askofu wa Paris akafanya uchungaji bila kulegeza maisha magumu aliyozoea[1].

Thumb
Mt. Jermano katika mchoro mdogo.

Venansi Fortunati alimsifu sana katika kitabu alichoandika juu yake[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Mei[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads