Jermano wa Paris
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jermano wa Paris (Autun, leo nchini Ufaransa, 496 hivi - Paris, 28 Mei 576) alikuwa mmonaki ambaye, baada ya kuwa abati wa monasteri karibu na Autun, alichaguliwa kuwa askofu wa Paris akafanya uchungaji bila kulegeza maisha magumu aliyozoea[1].

Venansi Fortunati alimsifu sana katika kitabu alichoandika juu yake[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads