Kaisari wa Bus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaisari wa Bus
Remove ads

Kaisari wa Bus (Cavaillon, leo nchini Ufaransa, 3 Februari 1544Avignon, Provence, 15 Aprili 1607) alikuwa padri mwanajimbo wa Kanisa Katoliki aliyeanzisha mashirika mawili ya kitawa yamsaidie kuhubiri na kufundisha imani, ingawa hapo awali alikuwa askari akaishi pia maisha ya anasa[1].

Thumb
Mtakatifu Kaisari.

Alitangazwa na Papa Paulo VI kuwa mwenye heri tarehe 27 Aprili 1975[2] , halafu na Papa Fransisko kuwa mtakatifu tarehe 15 Mei 2022.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads