Kaole
Makazi ya zama za kati za waswahili From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kaole ni mji mdogo na wa kihistoria unaopatikana katika ufukwe wa bahari ya Hindi, umbali wa maili tatu tu toka Bagamoyo.
Historia
Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya kaskazini ya Tanzania kwenye Bahari ya Hindi. Hivyo ni sehemu ya kihistoria tangu mwanzoni mwa karne ya 13 mpaka karne ya 16.
Mji huu una mabaki, mawe ya zamani, magofu na vitu vingi vya kale. Kunapatikana mabaki ya msikiti wa kale na makaburi 30. [1] Makaburi haya yamejengwa kwa Matumbawe
Picha
- Magofu ya Kaole (2009).
- Magofu ya Msikiti na makaburi ya zamani hapo Kaole (2011).
- Kisima cha Maajabu huko Kaole
- Magofu ya Msikiti wa Kwanza Kaole
- Magofu ya Msikiti wa Kwanza Kaole
- Kaburi la Sharifa (Maifu)
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads