Kaprasi wa Lerins

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaprasi wa Lerins
Remove ads

Kaprasi wa Lerins (alifariki Lerins, Provence, Ufaransa, 430) alikuwa mkaapweke wa Kanisa Katoliki aliyeanzisha monasteri katika kisiwa kidogo kisichokaliwa na watu kati ya visiwa vya Lerins pamoja na Honorati wa Arles[1] ili kufuata mifano ya Mababu wa jangwani kadiri ya kanuni ya Pakomi[2][3][4].

Thumb
Kanisa na monasteri ya Lérins.
Thumb
Visiwa vya Lerins; kile cha Mt. Honorati kiko kushoto.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Juni[5][6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads