Kithai

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kithai
Remove ads

Kithai ni lugha ya taifa na lugha rasmi ya nchini Thailand pamoja na kuwa lugha mama ya Wathai, kundi kubwa la watu nchini Thailand.

Thumb
Eneo la Kithai.

Karibu watu milioni 70/75 wanazungumza lugha hiyo[1].

Ni lugha muhimu zaidi kati ya lugha za Kithai, ambazo zinaunda tawi la lugha za Kra-Dai.

Alfabeti

Alfabeti ya Kithai ina herufi 44. ก ข ฃ ค ฅ ฆ ง จ ฉ ช ซ ฌ ญ ฎ ฏ ฐ ฑ ฒ ณ ด ต ถ ท ธ น บ ป ผ ฝ พ ฟ ภ ม ย ร ล ว ศ ษ ส ห ฬ อ ฮ

Lugha ya Kithai ina tarakimu zake za pekee pia: ๑ 1 ๒ 2 ๓ 3 ๔ 4 ๕ 5 ๖ 6 ๗ 7 ๘ 8 ๙ 9 ๐ 0

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads