Kizito

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kizito
Remove ads

Kizito (1872 - Namugongo, Uganda, 3 Juni 1886) ni mmojawapo wa Wafiadini wa Uganda, mdogo kuliko wote. Alichomwa moto kwa ajili ya imani yake kwa Yesu Kristo akiwa na umri wa miaka 14 tu. Kidogo tu kabla hajauawa alibatizwa na katekista Karolo Lwanga [1].

Thumb
Dirisha la kanisa la Namugongo linaloonyesha Mt. Kizito.
Thumb
Mt. Kizito akibatizwa na Mt. Karolo Lwanga huko Munyonyokioo cha rangi katika patakatifu pa wafiadini huko Munyonyo.

Pamoja na wenzake alitangazwa na Papa Benedikto XV kuwa wenye heri tarehe 6 Juni 1920, halafu na Papa Paulo VI kuwa mtakatifu tarehe 18 Oktoba 1964 huko Roma.

Sikukuu yake ni tarehe 3 Juni kila mwaka[2].

Ni msimamizi wa watoto na wa shule za msingi.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads