Konklevu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Konklevu (kutoka Kilatini "cum clave", yaani "kwa ufunguo", kupitia matamshi ya Kiingereza ya neno "conclave") ni mkutano maalumu ya makardinali wote wenye umri chini ya miaka 80 unaofanyika ili kumchagua askofu wa Roma, maarufu kama Papa wa Kanisa Katoliki, baada ya kufariki dunia au kujiuzulu aliyekuwa madarakani.


Lengo la kujifungia ndani tangu karne za kati ni kuzuia makardinali wasiingiliwe na watu wa nje, hasa watawala, ambao wanaweza wakawa na malengo tofauti na yale ya kiroho.
Kwa sasa kuna taratibu nyingi zilizopangwa kinaganaga, ambazo mojawapo ni kwamba wapigakura wasizidi 120, ingawa Papa ana mamlaka ya kuzidisha.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads