Konrad wa Parzham

From Wikipedia, the free encyclopedia

Konrad wa Parzham
Remove ads

Konrad wa Parzham O.F.M. Cap. ni jina la kitawa la Yohane Birndorfer (Bad Griesbach, Passau, Ufalme wa Bavaria, leo nchini Ujerumani, 1818 - Altötting, Bavaria, 1894) alikuwa bruda wa shirika la Ndugu Wadogo Wakapuchini na kufanya kwa unyenyekevu mkubwa kazi ya bawabu kwenye patakatifu pa Altötting kwa miaka 40 na zaidi.

Thumb
Mt. Konrad akitoa msaada.

Daima mkarimu kwa fukara, hakuacha mhitaji yeyote kuondoka bila kumpa kwanza maneno mazuri ya faraja ya Kikristo[1].

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri mwaka 1930 na mtakatifu mwaka 1934.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Aprili[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads