Kristofa Magallanes
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kristofa Magallanes (kwa Kihispania Cristóbal Magallanes Jara, Totatiche, Jalisco, Mexico, 30 Julai 1869 - Colotlán, Jalisco, 25 Mei 1927) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Meksiko hadi alipouawa bila kesi wakati wa Vita vya Wakristero kutokana na chuki dhidi ya Kristo Mfalme na Kanisa lake [1].


Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 22 Novemba 1992 halafu mtakatifu mfiadini tarehe 21 Mei 2000 pamoja na wenzake 24 waliofia dini katika vita hivyo[2]:
- Román Adame Rosales (1859-1928)
- Rodrigo Aguilar Alemán (1875-1927)
- Julio Álvarez Mendoza (1866-1927)
- Luis Batis Sáinz (1870-1926)
- Agustín Caloca Cortés (1898-1927)
- Mateo Correa Magallanes (1866-1927)
- Atilano Cruz Alvarado (1901-1928)
- Miguel De La Mora (1874-1927)
- Pedro Esqueda Ramirez (1897-1927)
- Margarito Flores Garcia (1899-1927)
- José Isabel Flores Varela (1866-1927)
- David Galván Bermudes (1882-1915)
- Salvador Lara Puente (1905-1926)
- Pedro de Jesús Maldonado (1892–1937)
- Jesús Méndez Montoya (1880-1928)
- Manuel Morales (1898-1926)
- Justino Orona Madrigal (1877-1928)
- Sabas Reyes Salazar (1879-1927)
- José María Robles Hurtado (1888-1927)
- David Roldán Lara (1907-1926)
- Toribio Romo González (1900-1928)
- Jenaro Sánchez Delgadillo (1886-1927)
- Tranquilino Ubiarco Robles (1889-1928)
- David Uribe Velasco (1888-1927)
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads