Kristos Samra
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kristos Samra (kwa Ge'ez: ክርስቶስ፡ሠምራ, Krəstos Śämra, yaani “Kristo anapendezwa naye"; aliishi katika karne ya 15[1][2] ) alikuwa mwanamke wa Ethiopia aliyeanzisha monasteri ya Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia[3] baada ya kuishi katika ndoa na kuzaa watoto kumi.

Ni kati ya watakatifu zaidi ya 200 wazawa wa Ethiopia[4] na kati ya wale wa kwanza katika wanawake 14.[5]
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads